Rafiki yangu mpendwa katika Kristo Kwa watu wote ambao maisha yao yanaongozwa na Biblia, wanatambua kuwa kifo ni kitu halisi kama sehemu ya hali ya sasa ya mwanadamu iliyoathiriwa na dhambi (Mwanzo 2:17; Warumi 5; Waebrania 9:27). “Kwa kila jambo kuna majira yake, Na wakati kwa kila kusudi chini ya mbingu, Wakati wa kuzaliwa, na…
