Wengi wetu tunapofikiria juu ya suala la kuuza, tunahusisha mara moja na wafanyabiashara wanaouza bidhaa na huduma mbalimbali. Hata hivyo, dhana hii imejikita katika uelewa finyu wa ukweli wa msingi kwamba kila mtu, kwa namna moja au nyingine, ni muuzaji. Uuzaji hauishii kwa wale wanaofanya biashara pekee, bali unahusu kila mtu katika hali tofauti za…
All posts in Uncategorized

Hizi Ndizo Sababu zinazazowafanya Wanawake Kuchepuka Nje ya Ndoa
Rafiki yangu mpendwa katika Kristo, “Ndoa na iheshimiwe na watu wote, na malazi yawe safi; kwa maana waasherati na wazinzi Mungu atawahukumia adhabu” (Waebrania 13:4). Haya ni maelekezo ya Mungu yenye lengo la kuwafanya wanandoa wasifanye tendo la ndoa na mtu mwingine asiye mwenzi wao wa ndoa. Hata hivyo, hali halisi haiku hivyo, baadhi ya…