Rafiki yangu mpendwa, Mara nyingi tunaposikia suala la deni la taifa au mikopo kwa serikali, mawazo yetu yanakimbia moja kwa moja katika nchi zilizoendelea pamoja na mashirika ya kimataifa kama vile Shirika la Fedha Duniani, Benki ya Dunia na mengine mengi. Hawa ndio wakopeshaji wakuu wa Serikali. Ndiyo, hawa ndiyo wakopeshaji wakubwa wa Serikali, lakini…
