Rafiki yangu Mpendwa, Suala la madeni yatokanayo na mikopo linawatesa wengi. Sababu mojawapo ya hali hii ni kwamba kuna kweli nyingi ambazo watu hawazijui kuhusu mikopo na pia kuna upotoshaji mwingi sana kuhusu mikopo. Kwa mfano: Fuatana nami nami katika makala haya ninapoangazia hoja hizi: Kigezo cha kuzingatia unapochukua mkopo ni kimoja tu Ikitokea unahitaji…
