Rafiki yangu mpendwa katika Kristo, Karibu tena katika mwendelezo wa makala juu ya nini husababisha baadhi ya watu wanaopata fedha nyingi kuishia kuwa maskini wa kutupwa. Tayari tulishangalia makundi ya watu wanaopata fedha nyingi na makundi gani yenye uwezekano mkubwa wa kuishiwa fedha na kuwa maskini na nini kinapelekea hali hiyo. Kabla ya kuendelea…
