Waraka wa Wazi kwa Wahitimu wa Elimu ya Juu 2023

Waraka wa Wazi kwa Wahitimu wa Elimu ya Juu 2023

Baada ya kudanganywa na kijidanganya, huu hapa ukweli ambao huujui Rafiki yangu mpendwa katika Kristo, Hiki ni kipindi cha mwaka ambacho wanafunzi wa elimu ya juu (isipokuwa wachache) wamekamilisha muhula wa mwisho wa mwaka wa masomo. Na kati yao kuna ambao wamehitimu masomo yao kwa ngazi mbalimbali kuanzia astashahada (certfificate), stashahada (Diploma), shahada ya kwanza…

Waraka wa Wazi Kwa Wahitimu wa Kidato Cha Sita 2023- Sehemu ya Pili

Waraka wa Wazi Kwa Wahitimu wa Kidato Cha Sita 2023- Sehemu ya Pili

Nendeni Chuoni Mkijua Hakuna Ajira Na Mliofeli Pambaneni na Hali Zenu. Rafiki yangu mpendwa katika Kristo, Karibu katika sehemu ya pili ya waraka wa wazi kwa wahitimu wa kidato cha sita 2023. Katika sehemu ya kwanza ya waraka huu niliwakumbusha wale waliofaulu mtihani wa kidato cha sita kuwa kwa sasa dunia nzima kuna tatizo la…

Waraka wa wazi kwa wahitimu wa kidato cha sita 2023

Waraka wa wazi kwa wahitimu wa kidato cha sita 2023

Nendeni chuoni mkijua hakuna ajira na mliofeli pambaneni na hali zenu. Rafiki yangu mpendwa katika Kristo, Wiki iliyopita, Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA), lilitangaza matokeo ya mitihani ya kidato cha sita iliyofanyika Mei, 2023. Kama ilivyo kawaida, katika mitihani, wapo waliofaulu vizuri na kupata sifa za kuendelea na masomo ya elimu ya juu na…

Utashangaa Kusikia Siri hii Kutoka Kwa Wasomaji wa Vitabu

Utashangaa Kusikia Siri hii Kutoka Kwa Wasomaji wa Vitabu

Rafiki yangu mpendwa katika Kristo,  Umewahi kusikia kuhusu jarida la Forbes? Hili ni jarida maarufu la kibiashara la Marekani ambalo huchapisha masuala ya fedha, viwanda, uwekezaji na masoko. Jarida hili ni maarufu sana duniani kwa kutoa takwimu, orodha na madaraja ya vitu kama vile orodha ya watu matajiri (mabilionea) zaidi duniani (the Word’s Billionaires). Januari…