Kwa watu wote ambao maisha yao yanaongozwa na Biblia, wanatambua kuwa kifo ni kitu halisi kama sehemu ya hali ya sasa ya mwanadamu iliyoathiriwa na dhambi (Mwanzo 2:17; Warumi 5; Waebrania 9:27). “Kwa kila jambo kuna majira yake, Na wakati kwa kila kusudi chini ya mbingu, Wakati wa kuzaliwa, na wakati wa kufa (Mhubiri 3:1-2).…
