Kuna Uhusiano gani Kati ya Mwonekano wa Nje wa Mtu na Hali yake ya Kiroho?

Kuna Uhusiano gani Kati ya Mwonekano wa Nje wa Mtu na Hali yake ya Kiroho?

Rafiki yangu mpendwa katika Kristo, “Mungu haangalii nje bali anaangalia ndani ya moyo” ni kauli maarufu sana inayotokana na dhana kwamba namna mtu anavyoonekana kwa watu wengine si muhimu ili mradi tu ndani ya moyo wake yuko safi. Watu wanaotoa kauli hiyo huenda mbali zaidi hata kuithibitisha kwa kutumia maandiko matakatifu kama vile  “…… Bwana…

Hizi Ndizo Sababu zinazazowafanya Wanawake Kuchepuka Nje ya Ndoa

Hizi Ndizo Sababu zinazazowafanya Wanawake Kuchepuka Nje ya Ndoa

Rafiki yangu mpendwa katika Kristo, “Ndoa na iheshimiwe na watu wote, na malazi yawe safi; kwa maana waasherati na wazinzi Mungu atawahukumia adhabu” (Waebrania 13:4). Haya ni maelekezo ya Mungu yenye lengo la kuwafanya wanandoa wasifanye tendo la ndoa na mtu mwingine asiye mwenzi wao wa ndoa. Hata hivyo, hali halisi haiku hivyo, baadhi ya…

Hivi Ndivyo Unavyoweza Kufundisha na Kuhubiri Watoto kwa kutumia Visa  na Maigizo-2

Hivi Ndivyo Unavyoweza Kufundisha na Kuhubiri Watoto kwa kutumia Visa  na Maigizo-2

Rafiki yangu mpendwa katika Kristo, Naomba nikukaribishe katika mwendelezo wa makala kuhusu matumizi ya visa katika kufundisha na kuhubiri watoto. Katika sehemu iliyopita, tuliona mambo muhimu matano ya kuzingatia unapofunidsha au kuhubiri kwa kutumia visa. Kusoma makala iliyotangulia, bonyeza hapa Leo, naomba nikushirikishe mambo mengine muhimu. Mambo hayo ni kama ifuatavyo: Fahamu hadhira yako: Kwa…

Biblia inasemanaje kuhusu Injili ya Mafanikio? – 5

Rafiki yangu mpendwa katika Kristo, Karibu tena katika mfulululizo wa makala kuhusu injili ya mafanikio. Hadi sasa tumeshambua mafungu mengi yanayobainisha kuwa injili ya mafanikio kama inavyofundishwa na wahubiri wengi inavyopingana na Biblia. Katika makala haya ya mwisho katika mfulululizo huu tutaangalia namna ambavyo injili ya mafanikio inavyopotosha dhana nzima ya utii wa wanadamu kwa…

Hivi Ndivyo Unavyoweza Kufundisha na Kuhubiri Watoto kwa kutumia Visa

Hivi Ndivyo Unavyoweza Kufundisha na Kuhubiri Watoto kwa kutumia Visa

Rafiki yangu mpendwa katika Kristo, Zipo njia nyingi zinazotumika katika kufundisha na kuhubiri watoto wa umri mbalimbali kanisani, nyumbani na katika vipindi vya dini mashuleni. Kati ya njia hizo visa na hadithi ni njia ambayo inatumiwa na walimu na wahubiri wengi wa watoto pengine kuliko njia nyingine zote. Yesu Kristo mwenyewe alitumia sana visa  kufikisha…

Biblia Inasemaje Kuhusu Injili ya Mafanikio?- 3

Biblia Inasemaje Kuhusu Injili ya Mafanikio?- 3

Rafiki yangu mpendwa katika Kristo, Karibu katika sehemu ya tatu ya mfululizo wa makala kuhusu injili ya mafanikio ambapo tunaangalia Biblia inasemaje kuhusu injili hiyo. Leo, tutaona namna ambavyo injili ya mafanikio inavyopotosha tabia ya Mungu kuhusu upendo na namna ambavyo injili hiyo inamfanya mwanadamu awe kiumbe cha kufikirika tu. Karibu tujifunze pamoja. Kupata makala…

Biblia inasemaje Kuhusu Mafundisho ya Injili ya Mafanikio?-2

Biblia inasemaje Kuhusu Mafundisho ya Injili ya Mafanikio?-2

Rafiki yangu mpendwa katika Kristo, Mojawapo ya fundisho maarufu katika ukristo katika zama hizi ni injili ya mafaniko (prosperity gospel) au injili ya utajirisho. Injili hii inafundisha kuwa ukiwa mkristo mwaminifu una uhakika wa mafanikio kama vile utajiri, afya njema na kadhalika. Kwa mujibu wa mafundisho kuhusu njili ya mafanikio, mojawapo ya ishara kuwa wewe…