Hii ni aina nyingine ya Uwekezaji Ambao Mtu Wa Kisasa Kama Wewe Anapaswa Kuwa Nao

Hii ni aina nyingine ya Uwekezaji Ambao Mtu Wa Kisasa Kama Wewe Anapaswa Kuwa Nao

Rafiki yangu mpendwa , Katika makala yangu iliyopita nilikushirikisha  juu ya aina ya uwekezaji wa kisasa ambao mtu wa kisasa kama wewe ni muhimu kuwa nao. Aina hiyo ya Uwekezaji huo ni uwekezaji katika masoko ya dhamana. Katika makala hayo, nilikueleza kuwa uwekezaji katika masoko ya dhamana si uwekezaji mpya duniani lakini ni uwekezaji mpya…

Huu Ndio Uwekezaji ambao Mtu wa Kisasa Kama Wewe Anapaswa Kuwa Nao

Huu Ndio Uwekezaji ambao Mtu wa Kisasa Kama Wewe Anapaswa Kuwa Nao

Rafiki yangu Mpendwa, Kuna aina nyingi za uwekezaji ambazo watu wamekuwa wakizifanya. Baadhi ya aina hizo ni uwekezaji katika ardhi na majengo kwa kuwa na ardhi ya kukodisha na kujenga nyumba za kupangisha, kuweka fedha benki ili kupata riba, kuwekeza katika vipaji na talanta ulizo nazo kama vile utunzi na uimbaji wa nyimbo, michezo mbalimbali,…

Hizi Ndizo Sababu Kwanini Kila Mtu Anapaswa kuwa na Biashara

Hizi Ndizo Sababu Kwanini Kila Mtu Anapaswa kuwa na Biashara

Rafiki yangu mpendwa katika Kristo, Katika dunia ya leo, karibu kila mtu analalamika juu ya ugumu wa maisha. Hata wafanyakazi wenye ajira za kudumu nao ni miongoni mwa watu wanaolalmikia ugumu wa maisha.Watu wanapata pesa kila siku au kila mwezi lakini watakuambia haitoshi. Umewahi kujiuliza tatizo ni nini? Zinaweza kuwepo sababu nyingi kwa nini karibu…

Hii ndiyo tofauti kati ya kuhubiri na kufundisha

Hii ndiyo tofauti kati ya kuhubiri na kufundisha

Rafiki yangu mpendwa katika Kristo, Kabla Bwana wetu Yesu Kristo hajapaa kwenda mbinguni, alitupatia wajibu muhimu unaohusiana na kuwaandaa watu kwa ajili ya ufalme aliokuwa anaenda kutuandalia. Wajibu huo ni kuhubiri habari njema za wokovu kutoka kwa Mungu, yaani Injili na vilevile kuwafundisha watu kuyashika maelekezo yote ya Mungu. Agizo la Yesu kuhusu wajibu huu…

Hii  Ndiyo Siri ya Kuwa Mhubiri Bora

Hii  Ndiyo Siri ya Kuwa Mhubiri Bora

Rafiki yangu mpendwa katika Kristo, Mojawapo ya wajibu mkuu ambao Mungu amelikabidhi kanisa ni kuhubiri Injili, yaani kueneza habari njema za wokovu. Ni agizo alilolitoa Yesu kwa wafuasi wake. “Akawaambia, Enendeni ulimwenguni mwote, mkaihubiri Injili kwa kila kiumbe “(Marko 16:15). Kutokana na idadi ndogo ya wachungaji katika makanisa mengi, mahubiri mengi makanisani na yale ya…

Kwa utaratibu wa Biblia, si kila mhitaji lazima asaidiwe

Kwa utaratibu wa Biblia, si kila mhitaji lazima asaidiwe

Rafiki yangu mpendwa katika Kristo, Ni wajibu wa wakrisito kuwasaidia wahitaji katika jamii. Hivyo, zaidi ya kutoa zaka na sadaka kanisani, wakristo yawapasa kutenga kiasi fulani cha fedha kwa ajili ya kuwasaidia wahitaji. Suala hili ni la kibiblia maana ziaidi ya kusisitizwa katika maadniko, ipo mifano mingi katika maandiko ya watu waliotoa misaada kwa wahitaji.…

Kama Mungu ana uwezo wa kutulinda sisi na mali zetu, kwa nini tukate bima ?

Kama Mungu ana uwezo wa kutulinda sisi na mali zetu, kwa nini tukate bima ?

Rafiki yangu mpendwa katika Kristo, Kuna mitazamo tofauti miongoni mwa wakristo kuhusu suala la bima. Wapo wanaounga mkono kukata bima ya aina yoyote lakini wapo wengine ambao wana mtazamo kuwa kukata bima kunaonesha upungufu wa imani juu ya uweza wa Mungu. Kwa sababu ya mgawanyiko huu wa mtazamo, tutajadili kidogo suala hili. Kwanza ieleweke kuwa,…

Haya ndiyo mambo muhimu ya kuzingatia katika uwekezaji

Haya ndiyo mambo muhimu ya kuzingatia katika uwekezaji

Rafiki yangu mpendwa katika Kristo, Watu wengi hutamani kuingia katika uwekezaji ili wawe na kipato cha uhakika na kisicho na kikomo. Kwa upande mwingine, kuna watu wengi ambao hawataki kuingi katika uwekezaji kwa kuogopa hatari zilizoko kwenye uwekezaji. Vilevile, kuna wawekezaji ambao huamua kuondoka kabisa katika uwekezaji na kufanya shughuli zingine baada ya kukumbana na…

Hizi Ndizo Kanuni Za Kufanya Biashara Kwa Mkristo

Ndugu yangu mpendwa katika Kristo, Hakuna ubishi kwamba biashara ni njia mojawapo ya uhakika ya kujipatia kipato kisicho na kikomo. Hivyo, ni vema kila mmoja anayetamani kufanikiwa kifedha awe na biashara hata kama na vyanzo vingine vya kipato. Kama utaamua kufanya biashara, yakupasa ujue kuwa biashara ina kanuni zake. Zipo kanuni za jumla ambazo mfanyabiashara…

Utashangaa Kusikia Siri hii Kutoka Kwa Wasomaji wa Vitabu

Utashangaa Kusikia Siri hii Kutoka Kwa Wasomaji wa Vitabu

Rafiki yangu mpendwa katika Kristo,  Umewahi kusikia kuhusu jarida la Forbes? Hili ni jarida maarufu la kibiashara la Marekani ambalo huchapisha masuala ya fedha, viwanda, uwekezaji na masoko. Jarida hili ni maarufu sana duniani kwa kutoa takwimu, orodha na madaraja ya vitu kama vile orodha ya watu matajiri (mabilionea) zaidi duniani (the Word’s Billionaires). Januari…