Rafiki yangu mpendwa katika Kristo, Kila hubiri lina ujumbe ambao unaenda kwa hadhira. Kwa kuwa kiini cha hubiri lolote ni maandiko, ujumbe wako lazima utoke kwenye maandiko. Hivyo, moja ya vitu vya kwanza kufikiria unapoandaa hubiri lako ni fungu au mafungu utakayotumia kwenye hubiri lako. Lakini pia, badala ya kuanza kufikiria fungu utakalotumia, unaweza kuanza…
