Hivi Ndivyo Unavyoweza Kukwepa Gharama za Miamala ya Fedha ya Kielektroniki bila Kuvunja Sheria

Hivi Ndivyo Unavyoweza Kukwepa Gharama za Miamala ya Fedha ya Kielektroniki bila Kuvunja Sheria

Rafiki yangu mpendwa katika Kristo, Kutokana na maendeleo ya Sayansi na teknolojia yaliyopo, siku hizi utunzaji na uhamishaji wa fedha umekuwa rahisi sana. Unaweza kutunza fedha kwa namna nyingi kama vile kwenye akaunti ya benki na kwenye simu za mikononi kupitia akaunti ya M-pesa, Tigo-Pesa, Airtel Money, Halopesa, Esy-Pesa na T-Pesa. Siku hizi unaweza kuhamisha…

Kwa Nini Watu Wengi Wanapenda Kuajiriwa Licha ya Ajira Kutowapatia Mafanikio ya Kifedha?

Kwa Nini Watu Wengi Wanapenda Kuajiriwa Licha ya Ajira Kutowapatia Mafanikio ya Kifedha?

Rafiki yangu mpendwa katika Kristo, Wafanyakazi wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania bado wanasikilizia maumivu baada ya kupata pigo kubwa mwezi huu. Pigo hilo ni nyongeza ndogo ya mshahara isiyolingana na matarajio yao na isiyolingana na hali halisi ya ugumu wa maisha uliopo. Wafanyakazi wa Serikali walitangaziwa na Rais wa Jamahuri ya Muungano…

Taharuki Iliyotokea Kuhusu Nyongeza ya Mshahara Inatufundisha Nini?

Taharuki Iliyotokea Kuhusu Nyongeza ya Mshahara Inatufundisha Nini?

Rafiki yangu Mpendwa katika Krsito, Kuanzia ijumaa ya wiki iliyopita (Julai 22, 2020) kuliibuka taharuki na na mijadala mikali iliyojaa malalamiko kutoka watumishi wa umma. Kilichosababisha taharuki na mjadala ni ongezeko la mshahara. Kama hukusikia chchocte kuhusu taharuki hiyo unaweza kushangaa kwamba inakuwaje watu waongezewe mshahara halafu wapate taharuki na waibuke na malalamiko badala ya…

Unajua Fedha Zako Zinaenda Wapi?

Unajua Fedha Zako Zinaenda Wapi?

Rafiki yangu mpendwa katika Kristo, Rafiki yangu mmoja aliwahi kuniambia kuna vitu huwa vinamshangaza kwenye matumizi ya fedha. Kwanza, akipata fedha, huwa huwa hahangaiki kukaa chini na kupanga azitumieje lakini zinapoisha tu ndipo mawazo na mipango mizuri huwa inamjia akilini mwake. Wakati bado fedha hizo zipo mipango hiyo huwa haiji akilini. Pili, huwa hawezi kueleza…