Rafiki yangu mpendwa katika Kristo, Kutokana na maendeleo ya Sayansi na teknolojia yaliyopo, siku hizi utunzaji na uhamishaji wa fedha umekuwa rahisi sana. Unaweza kutunza fedha kwa namna nyingi kama vile kwenye akaunti ya benki na kwenye simu za mikononi kupitia akaunti ya M-pesa, Tigo-Pesa, Airtel Money, Halopesa, Esy-Pesa na T-Pesa. Siku hizi unaweza kuhamisha…


