Epuka Tabia Hizi Mbaya Unapokuwa Katika Mazungumzo – 4

Epuka Tabia Hizi Mbaya Unapokuwa Katika Mazungumzo – 4

Rafiki yangu mpendwa katika Kristo, Tumekuwa na mfululizo wa makala kuhusu tabia ambazo hazifai katika mawasiliano. Tayari tumeshaona tabia mbaya 11 hadi sasa. Karibu katika sehemu ya mwisho ya makala haya ambapo tunaenda kuangalia tabia zingine tano zisizofaa katika mawasiliano. Kusoma makala ya nyuma bonyeza hapa Katika makala ya leo tutaangalia tabia zifuatazo: kujaribu kumshinda…

Epuka Tabia Hizi Mbaya Unapokuwa Katika Mazungumzo – 3

Epuka Tabia Hizi Mbaya Unapokuwa Katika Mazungumzo – 3

Rafiki yangu mpendwa katika Kristo, Karibu tena katika mwendelezo wa makala kuhusu tabia mbaya unazopaswa kuziepuka unapokuwa katika mazungumzo muhimu na mtu. Katika mfululizo wa makala haya, tunaangalia tabia ambazo zinaweza kuharibu mazungumzo yako na mtu au watu wengine. Katika makala yaliyopita tuliangalia tabia mbaya tano. Tabia ya kwanza ni matumizi ya simu wakati wa…

Epuka Tabia Hizi Mbaya Unapokuwa Katika Mazungumzo

Epuka Tabia Hizi Mbaya Unapokuwa Katika Mazungumzo

Rafiki yangu Mpendwa, Je, umewahi kuhisi kutosikilizwa kwenye mazungumzo ya aina yoyote? Labda ulikuwa katikati ya kuzungumza, mtu fulani akakukatiza kabla hujamaliza, au labda ulimaliza kuzungumza ukitegemea kujibiwa ukakutana na ukimya wa kushangaza na ukagundua kuwa mtu uliyekuwa unaongea naye alikuwa anachati kwenye simu na hivyo alikuwa hakusikilizi? Je, ulijisikiaje? Katika mazungumzo ya aina yoyote,…

Hizi Ndizo Sababu zinazazowafanya Wanawake Kuchepuka Nje ya Ndoa

Hizi Ndizo Sababu zinazazowafanya Wanawake Kuchepuka Nje ya Ndoa

Rafiki yangu mpendwa katika Kristo, “Ndoa na iheshimiwe na watu wote, na malazi yawe safi; kwa maana waasherati na wazinzi Mungu atawahukumia adhabu” (Waebrania 13:4). Haya ni maelekezo ya Mungu yenye lengo la kuwafanya wanandoa wasifanye tendo la ndoa na mtu mwingine asiye mwenzi wao wa ndoa. Hata hivyo, hali halisi haiku hivyo, baadhi ya…