Waraka wa Wazi Kwa Wahitimu wa Kidato Cha Sita 2023- Sehemu ya Pili

Waraka wa Wazi Kwa Wahitimu wa Kidato Cha Sita 2023- Sehemu ya Pili

Nendeni Chuoni Mkijua Hakuna Ajira Na Mliofeli Pambaneni na Hali Zenu. Rafiki yangu mpendwa katika Kristo, Karibu katika sehemu ya pili ya waraka wa wazi kwa wahitimu wa kidato cha sita 2023. Katika sehemu ya kwanza ya waraka huu niliwakumbusha wale waliofaulu mtihani wa kidato cha sita kuwa kwa sasa dunia nzima kuna tatizo la…

Waraka wa wazi kwa wahitimu wa kidato cha sita 2023

Waraka wa wazi kwa wahitimu wa kidato cha sita 2023

Nendeni chuoni mkijua hakuna ajira na mliofeli pambaneni na hali zenu. Rafiki yangu mpendwa katika Kristo, Wiki iliyopita, Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA), lilitangaza matokeo ya mitihani ya kidato cha sita iliyofanyika Mei, 2023. Kama ilivyo kawaida, katika mitihani, wapo waliofaulu vizuri na kupata sifa za kuendelea na masomo ya elimu ya juu na…

Hizi Ndizo Sababu Kwa Nini Watu Hutafuta Utajiri Kwa Njia za Kishirikina

Hizi Ndizo Sababu Kwa Nini Watu Hutafuta Utajiri Kwa Njia za Kishirikina

Mpenzi msomaji, Tunaendelea na mfululizo wa makala kuhusu uhusiano wa ushirikina na mafanikio ya kiuchumi. Katika makala yaliyopita tuliona kwa nini waganga wanaweza kuwapatia watu wengine dawa au mbinu za kuwa matajiri wakati wao ni masikini. Na pia tuliangalia jinsi ambavyo unaweza kutumia mbinu wanazotumia waganga hao bila ya wewe kuwa mshirikina na ukafikia mafanikio…

Hivi Ndivyo Watu Hutajirika kwa Kutumia Ushirikina – 3

Hivi Ndivyo Watu Hutajirika kwa Kutumia Ushirikina – 3

Rafiki yangu mpendwa katika Kristo, Karibu tena kwenye mfululizo wa makala kuhusu uhusiano wa ushirikina na mafanikio ya kiuchumi. Katika makala yaliyopita tuliona kuwa kuna watu wanadai kupata mafanikio makubwa ya kiuchumi kwa kutumia ushirikina. Nilieleza hayo kwa kutumia sayansi ya tabia ya mwanadamu. Hata hivyo, ukweli ni kwamba mafanikio hayo hayaletwi na ushirikina bali…

Hivi Ndivyo Watu Hutajirika kwa Kutumia Ushirikina – 2

Hivi Ndivyo Watu Hutajirika kwa Kutumia Ushirikina – 2

Rafiki yangu katika Kristo, Tunaendelea na mfululizo wa makala kuhusu uhusiano kati ya ushirikina na utajiri. Katika makala haya, tutaangalia kama ushirikina unaweza kusaidia kupata utajiri na mafanikio mengine au la. Kupata makala ya nyuma kuhusu mada hii, bonyeza hapa. Pengine, swali muhimu la kujiuliza ni hili: Je ni kweli ushirikina unaweza kuleta utajiri? Jibu…

Hivi Ndivyo Watu Hutajirika kwa Kutumia Ushirikina

Hivi Ndivyo Watu Hutajirika kwa Kutumia Ushirikina

Rafiki yangu katika Kristo, Maneno “ushirikina” na uchawi si mageni masikioni mwetu na kwenye fikra zetu. Imekuwa ni kawaida kuona katika sehemu mbalimbali watu wakiitwa wachawi au washirikina kwa sababu mbalimbali. Kwa mfano, katika jamii niliyozaliwa na kukulia, wanawake wenye macho mekundu hasa vikongwe  hutuhumiwa kujihusisha na uchawi kwa kuwaloga watu wengine. Lakini pia, baadhi…

Usiponielewa leo,Utanielewa Utakapotapeliwa

Usiponielewa leo,Utanielewa Utakapotapeliwa

Rafiki yangu mpendwa, Mwanzoni mwa mwezi huu, zilisambaa habari katika mitandao ya kijamii, magazeti, redio na televisheni kuhusu watu wapatao 300 kudai kutapeliwa na kampuni ya Bestway Capital Management (BCM) ya jijini Dar es Salaam. Mmoja wa watu waliodai kutapeliwa na kampuni hiyo, Bw. Charles Kapongo ambaye ni mkazi wa jiji Dar es salaam alinukuliwa…

Hivi Ndivyo Unavyoweza Kutoka Katika Utumwa wa Madeni

Hivi Ndivyo Unavyoweza Kutoka Katika Utumwa wa Madeni

Rafiki yangu mpendwa , tunaendelea na mfululizo wa makala kuhusu mada ya mikopo na madeni. Katika makala yaliyopita, tuliangalia namna ambavyo mtu ambaye hana madeni anavyoweza kuepuka kuingia katika madeni. Katika makala ya leo, tutaangalia namna mtu aliye tayari katika madeni anavyoweza kutoka katika madeni hayo na kuwa huru. Kuondokana na mikopo kunaweza kufananishwa na…

Ukifanya Haya Utajiepusha na Hatari ya Kuingia Kwenye Madeni Mabaya

Ukifanya Haya Utajiepusha na Hatari ya Kuingia Kwenye Madeni Mabaya

Rafiki yangu mpendwa, Karibu tena katika mwendelezo wa makala kuhusu mikopo na madeni. Katika makala ya nyuma nimekuwa nikikushirikisha mambo kadhaa kuhusu mada hii. Pamoja na mambo mengine, tumejifunza kuwa hakuna andiko lolote katika Biblia linalosema kwamba kukopa ni dhambi au kukopesha ni dhambi na kwamba yapo mafungu kadhaa ambayo ama moja kwa moja au…

Unahitaji Kujua Kweli Hizi Kabla ya Kuchukua Mkopo Wowote

Unahitaji Kujua Kweli Hizi Kabla ya Kuchukua Mkopo Wowote

Rafiki yangu Mpendwa, Suala la madeni yatokanayo na mikopo linawatesa wengi. Sababu mojawapo ya hali hii ni kwamba kuna kweli nyingi ambazo watu hawazijui kuhusu mikopo na pia kuna upotoshaji mwingi sana kuhusu mikopo. Kwa mfano: Fuatana nami nami  katika makala haya ninapoangazia hoja hizi: Kigezo cha kuzingatia unapochukua mkopo ni kimoja tu Ikitokea unahitaji…