Nendeni Chuoni Mkijua Hakuna Ajira Na Mliofeli Pambaneni na Hali Zenu. Rafiki yangu mpendwa katika Kristo, Karibu katika sehemu ya pili ya waraka wa wazi kwa wahitimu wa kidato cha sita 2023. Katika sehemu ya kwanza ya waraka huu niliwakumbusha wale waliofaulu mtihani wa kidato cha sita kuwa kwa sasa dunia nzima kuna tatizo la…
