Nendeni chuoni mkijua hakuna ajira na mliofeli pambaneni na hali zenu. Rafiki yangu mpendwa katika Kristo, Wiki iliyopita, Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA), lilitangaza matokeo ya mitihani ya kidato cha sita iliyofanyika Mei, 2023. Kama ilivyo kawaida, katika mitihani, wapo waliofaulu vizuri na kupata sifa za kuendelea na masomo ya elimu ya juu na…








