Hiki Ndicho Mungu Aliagiza Tufanye Kabla Ya ‘Kula Bata’

Hiki Ndicho Mungu Aliagiza Tufanye Kabla Ya ‘Kula Bata’

Rafiki yangu mpendwa, Katika makala yangu iliyopita, nilieleza vile namna ambavyo Mungu aliagiza “tule bata”. Katika makala hiyo nilieleza kuwa kula bata kunatafsiriwa kama kupumzika na kufurahia maisha. Kupitia biblia, Mungu ameelekeza tuwe na muda kupumzika vya kutosha kila siku na siku moja kwa kila juma. Leo nitakushirikisha kitu muhimu cha kuzingatia kabla ya “kula…

Hivi Ndivyo Mungu Alivyoagiza ‘Tule Bata’.

Hivi Ndivyo Mungu Alivyoagiza ‘Tule Bata’.

Rafiki yangu mpendwa katika Kristo, Msemo “kula bata” umekuwa maarufu sana katika siku za hivi karibuni ukiwa unatumiwa zaidi na vijana. Msemo huu unatumika kumaanisha kufurahia maisha. Japo kila mtu anatafsiri yake kuhusu kufurahia maisha, mara nyingi “kula bata” ni kufurahisha maisha kunakohusisha kutumia pesa katika mambo mbalimbali kama vile burudani, kula  na kunywa vitu…