Hizi Ndizo Sababu zinazazowafanya Wanawake Kuchepuka Nje ya Ndoa

Hizi Ndizo Sababu zinazazowafanya Wanawake Kuchepuka Nje ya Ndoa

Rafiki yangu mpendwa katika Kristo, “Ndoa na iheshimiwe na watu wote, na malazi yawe safi; kwa maana waasherati na wazinzi Mungu atawahukumia adhabu” (Waebrania 13:4). Haya ni maelekezo ya Mungu yenye lengo la kuwafanya wanandoa wasifanye tendo la ndoa na mtu mwingine asiye mwenzi wao wa ndoa. Hata hivyo, hali halisi haiku hivyo, baadhi ya…

Biblia inasemanaje kuhusu Injili ya Mafanikio? – 5

Rafiki yangu mpendwa katika Kristo, Karibu tena katika mfulululizo wa makala kuhusu injili ya mafanikio. Hadi sasa tumeshambua mafungu mengi yanayobainisha kuwa injili ya mafanikio kama inavyofundishwa na wahubiri wengi inavyopingana na Biblia. Katika makala haya ya mwisho katika mfulululizo huu tutaangalia namna ambavyo injili ya mafanikio inavyopotosha dhana nzima ya utii wa wanadamu kwa…

Biblia Inasemaje Kuhusu Injili ya Mafanikio?- 3

Biblia Inasemaje Kuhusu Injili ya Mafanikio?- 3

Rafiki yangu mpendwa katika Kristo, Karibu katika sehemu ya tatu ya mfululizo wa makala kuhusu injili ya mafanikio ambapo tunaangalia Biblia inasemaje kuhusu injili hiyo. Leo, tutaona namna ambavyo injili ya mafanikio inavyopotosha tabia ya Mungu kuhusu upendo na namna ambavyo injili hiyo inamfanya mwanadamu awe kiumbe cha kufikirika tu. Karibu tujifunze pamoja. Kupata makala…

Biblia inasemaje Kuhusu Mafundisho ya Injili ya Mafanikio?-2

Biblia inasemaje Kuhusu Mafundisho ya Injili ya Mafanikio?-2

Rafiki yangu mpendwa katika Kristo, Mojawapo ya fundisho maarufu katika ukristo katika zama hizi ni injili ya mafaniko (prosperity gospel) au injili ya utajirisho. Injili hii inafundisha kuwa ukiwa mkristo mwaminifu una uhakika wa mafanikio kama vile utajiri, afya njema na kadhalika. Kwa mujibu wa mafundisho kuhusu njili ya mafanikio, mojawapo ya ishara kuwa wewe…

Biblia Inasemaje kuhusu Mafundisho ya Injili ya Mafanikio?

Biblia Inasemaje kuhusu Mafundisho ya Injili ya Mafanikio?

Rafiki yangu mpendwa katika Kristo, Kutokana na ongezeko la madhehebu ya Kikristo hapa nchini na duniani kwa ujumla, kumekuwa pia na ongezeko la mafundisho ya kila aina kuhusu masuala mbalimbali ya imani ikiwemo suala la mafanikio ya kiuchumi. Baadhi ya wahubiri wamekuwa na ujumbe rahisi: Mungu anataka kukubariki, na ushahidi wa baraka hiyo ni kuwa…

Kama Unataka Usife Mapema Baada ya Kustaafu, Soma Hapa

Kama Unataka Usife Mapema Baada ya Kustaafu, Soma Hapa

Rafiki yangu mpendwa katika Kristo, Hivi umeshawahi kujiuliza, ikitokea umestaafu na ukacheleweshewa mafao yako kwa muda wa miezi sita au zaidi, maisha yako na ya familia yako yatakuwaje? Swali jingine, ambalo nakuomba ujiulize ni hili: Unajua kwamba pensheni utakayokuwa unalipwa kila mwezi baada ya kustaafu ni ndogo kuliko mshahara wako wa sasa? Kama unajua, je,…

Kumbe Hata Wewe Unaweza Kuikopesha Serikali na Ukatajirika?

Kumbe Hata Wewe Unaweza Kuikopesha Serikali na Ukatajirika?

Rafiki yangu mpendwa, Mara nyingi tunaposikia suala la deni la taifa au mikopo kwa serikali, mawazo yetu yanakimbia moja kwa moja katika nchi zilizoendelea pamoja na mashirika ya kimataifa kama vile Shirika la Fedha Duniani, Benki ya Dunia na mengine mengi. Hawa ndio wakopeshaji wakuu wa Serikali. Ndiyo, hawa ndiyo wakopeshaji wakubwa wa Serikali, lakini…

Hivi Ndivyo Unavyoweza Kuepuka Kazi yako Kugeuka kuwa Ibada ya Sanamu

Hivi Ndivyo Unavyoweza Kuepuka Kazi yako Kugeuka kuwa Ibada ya Sanamu

Rafiki yangu mpendwa katika Kristo, Je, Unaelewa nini kuhusu kuabudu sanamu? Je, Unahusika katika ibada ya sanamu? Je, Wapagani ndio waabudu sanamu tu? Watu wengi, hasa wa kizazi hiki, ni wanaabudu sanamu lakini hawajui kuwa ni waabudu sanamu. Leo nitakushirikisha namna moja tu kati ya nyingi  ambavyo unaweza kuwa unaabudu sanamu bila wewe kufahamu. Nitakushirikisha…