Rafiki yangu Mpendwa katika Kristo, Mojawapo ya mashujaa wa imani tunaowasoa kwenye Biblia ni Danieli na wenzake watatu. Danieli alizaliwa katika ufalme wa Yuda katika kipindi cha wasiwasi na misukosuko kutokana na kuibuka kwa Babeli kama ufalme wenye nguvu kwa wakati ule. Danieli alikuwa ni kijana mdogo tu mwenye miaka inayokadiriwa kuwa kati ya 15…
