Rafiki yangu mpendwa katika Kristo, Mtu mmoja aliwahi kusema “kila ndoa ina rangi yake” akiwa na maana kuwa ndoa hazifanani katika namna wanandoa wanavyoendesha mambo yao. Moja ya mambo ambayo kuna tofauti kubwa kati ya ndoa moja na nyingine ni namna wanandoa wanavyosimamia pesa zao. Kuna aina mbalimbali za wanandoa kuhusiana na namna wanavyosimamia masuala…
