Hivi Ndivyo Unavyoweza Kufundisha na Kuhubiri Watoto kwa kutumia Visa  na Maigizo-2

Rafiki yangu mpendwa katika Kristo, Naomba nikukaribishe katika mwendelezo wa makala kuhusu matumizi ya visa katika kufundisha na kuhubiri watoto. Katika sehemu iliyopita, tuliona mambo muhimu matano ya kuzingatia unapofunidsha au kuhubiri kwa kutumia visa. Kusoma makala iliyotangulia, bonyeza hapa Leo, naomba nikushirikishe mambo mengine muhimu. Mambo hayo ni kama ifuatavyo: Fahamu hadhira yako: Kwa…

Hivi Ndivyo Unavyoweza Kufundisha na Kuhubiri Watoto kwa kutumia Visa

Rafiki yangu mpendwa katika Kristo, Zipo njia nyingi zinazotumika katika kufundisha na kuhubiri watoto wa umri mbalimbali kanisani, nyumbani na katika vipindi vya dini mashuleni. Kati ya njia hizo visa na hadithi ni njia ambayo inatumiwa na walimu na wahubiri wengi wa watoto pengine kuliko njia nyingine zote. Yesu Kristo mwenyewe alitumia sana visa  kufikisha…

Hivi Ndivyo Unavyoweza Kunusuru Ndoa Yako Kwa Kuepuka kuwa Msikilizaji Mbovu

Rafiki yangu mpendwa katika Kristo, Tafiti zinaonesha kwamba mawasiliano ni mojawapo ya mambo yanayooongoza katika kusababisha migogoro ya ndoa na kusababisha kukosekana kwa amani katika ndoa na familia na hatimaye kuvunjika kwa ndoa.  Tatzio mojawapo linalochangia kukosekana kwa mawasilinao mazuri katika ndoa ni mwanandoa mmoja au wote kuwa wasikilizaji wabovu. Huenda wewe ni mmojawapo wa…

Hivi Ndivyo Mawasiliano Yanavyoweza Kujenga Au Kubomoa Ndoa Yako

Rafiki yangu mpendwa katika Kristo “Mimi sielewi nini kimetokea katika ndoa yetu,’’ alisema Kelvin (siyo jina lake halisi) huku akiwa na msongo kubwa wa mawazo. Kabla hatujaoana tulikuwa na mambo mengi ya kuongea. Sasa hatuongei. Kwa upande wa Esta (siyo jina lake halisi) ambaye ni mke wa Kelvin anasema “huwa simwambii chochote, na hivyo hana…

Hivi Ndivyo unavyoweza kuchagua Mada na Mafungu ya Kutumia Katika Hubiri Lako

Rafiki yangu mpendwa katika Kristo, Kila hubiri lina ujumbe ambao unaenda kwa hadhira. Kwa kuwa kiini cha hubiri lolote ni maandiko, ujumbe wako lazima utoke kwenye maandiko. Hivyo, moja ya vitu vya kwanza kufikiria unapoandaa hubiri lako ni fungu au mafungu utakayotumia kwenye hubiri lako. Lakini pia, badala ya kuanza kufikiria fungu utakalotumia, unaweza kuanza…

Je, Unajua Kuna Aina Ngapi za Mahubiri?

Kama wewe ni mfuatiliaji mzuri wa mhaubiri, bila shaka ulishagundua kuwa zipo aina nyingi za mahubiri ya kutegemeana na aina ya tukio au ibada, aina ya hadhira, aina ya mhubiri na kadhalika. Vilevile, aina ya mahubiri, yanaweza kutofautiana kulingana na namna unavyoamua kuyaainisha. Katika makala hii, naenda kukushirikisha ina kuu tano za mahubiri. Mhubiri anaweza…

Hivi Ndivyo Usiri Katika Mambo ya Fedha Unavyoweza Kuvuruga Ndoa yako

Rafiki yangu mpendwa katika Kristo Tafiti zilizofanyika katika nchi mbalimbali duniani zinaonesha kuwa mojawapo ya mambo yanayoongoza kusababisha migogoro na  hata kuvunjika kwa ndoa ni fedha. Fedha zinaweza kuchangia migogoro katika ndoa kwa namna nyingi. Namna mojawapo ni kukosa uwazi katika masuala ya fedha baina ya wanandoa. Inasikitisha kwamba, kuna ndoa ambazo, mume na mke…

Hivi Ndivyo Unavyoweza Kuwafundisha Watoto Wako Elimu ya Fedha

Rafiki yangu mpendwa katika Kristo, Watoto ni zawadi, thawabu na urithi kutoka kwa Mungu (Zaburi 127:3). Baada ya wana wa Israeli kutoka katika nchi ya Misri, Mungu aliwapa maelekezo mahususi tena kwa kurudiarudia kuhusu kuwafundisha watoto wao kile alichokuwa amewafundisha (Kumbukumbu la Torati 4:9-10, 40; 5:29; 6:2-9; 11:18-21). Bila shaka, Mungu alitaka mafanikio yanayotokana na…

Hivi Ndivyo Unavyoweza Kuandaa Kichwa Kizuri cha Hubiri Lako

Rafiki yangu Mpendwa Katika Kristo, Kichwa cha hubiri ni kitu muhimu sana katika hubiri. Pamoja na kuwa muhimu, baadhi ya wahubiri wa injili wana mtazamo kuwa kichwa cha hubiri siyo kitu cha msingi sana katika maandalizi ya hubiri. Ndiyo maana baadhi ya wahubiri huwa hawana kichwa cha hubiri. Kwa nini kichwa cha hubiri ni muhimu?…

Hii Ndiyo Sababu Kwa Nini Unapaswa Kutoa Zaka

Rafiki yangu mpendwa katika Kristo, Watu wengi wakiwemo wakristo, hutafuta mafanikio ya kifedha ili wafaidike wao wenyewe na familia zao tu. Lakini haipaswi kuwa hivyo, badala yake fedha unapoipata, kabla ya hata hujaanza kuitumia yakupasa kumpatia Mungu kilicho chake kama Neno la Mungu linavyosema “Yesu akajibu, akawaambia, Mpeni Kaisari yaliyo ya Kaisari, na yaliyo ya…